security


USALAMA WA TAARIFA BINAFSI KATIKA MITANDAO.


ZILIZOHIFADHIWA KWENYE MEMORY, FLASH, COMPUTER, TABLET, NA VIFAA VINGINEVYO. TAARIFA ZINAWEZA KUIBIWA BILA WEWE KUJUA




MOBILE SECURITY                                                                 ATM CARD  SECURITY
                                                                                                                                                             

PERSONAL  INFORMATION PROTECTION

DOWNLOAD 

document type.......Microsoft word doc x
imetafsiriwa  kiswahili





taarifa binafsi za mtu ni bora zaidi kuliko kifaa kinachotunza taarifa hizo, data zilizo kwenye computer au tablet ni thamani zaidi kuliko kifaa chenyewe kinachotunza hii ikijumuisha taarifa za siri, barua za kazi, vyeti, taarifa za kibiashara na zinginezo. je itakuwaje zikisambaa kwa watu wengine??. je wafahamu namna ya kulinda data zako unapokua kwenye mtandao ??? je unadhani upo salama unapokuwa kwenye internate ?? je huamini kua computer yako inaweza kuonwa na mwingine bila wewe kujua ??? je hauamini kuwa computer yako inaweza shambuliwa mda wowote ????je mara ngapi umekuwa ukitoa taarifa zako kwenye kurasa mbalimbali za mitandao kama vile jina,umri,makazi,account namba,password,kadi ya benki, je wafahamu taarifa zako zinakwenda wapi ?? je data zako zitakua salama ??? antivirus software inaweza kuwa ni virus, je ni antivurus ipi ni sahihi.







FREE  RECOMMENDED  VIRUS  MONITORING  SOFTWARE












JOIN WITH ME ON FACEBOOK

0758 280711 WHATSAP
EDUCATION BLOG COPY RIGHT

0656 848274 SMS